Kundi la Sauti Soul Kuvunjika
Kundi la muziki kutokea nchini Kenya, Sauti Sol limetangaza kuwa litavunjika kwa muda mara baada ya kumalizika kwa ziara yao ya kimataifa.
Katika taarifa yake kwa umma Jumamosi hii, wamesema ziara yao katika nchi za Marekani, Ulaya na Canada ni fursa kwa mashabiki wao kujumuika nao kwa mara ya mwisho.
cc @sautisol
#avmediaupdates #avmediainfos #breaknews #radio #vpl #epl #tmz #netflix #tv #youtube #habari #bongofleva #bongomovie #muziki #movie #Tanzania #Kenya #uganda #burundi #rwanda
Katika taarifa yake kwa umma Jumamosi hii, wamesema ziara yao katika nchi za Marekani, Ulaya na Canada ni fursa kwa mashabiki wao kujumuika nao kwa mara ya mwisho.
cc @sautisol
#avmediaupdates #avmediainfos #breaknews #radio #vpl #epl #tmz #netflix #tv #youtube #habari #bongofleva #bongomovie #muziki #movie #Tanzania #Kenya #uganda #burundi #rwanda
Comments
Post a Comment