Diamond Platnnumz, Alikiba, Harmonize, Sauti Sol Waletewa tuzo zao
Waandaaji wa Tuzo za Magic Vibes Awards wamezungumza na wana habari leo wakieleza kuleta tuzo kwa wasanii walioshinda baada ya kutangazwa washinndi.
Tuzo hizo ambazo zinaanndaliwa nchini Marekani Texas ni maalumu kwa ajili ya wasanii kutoka Afrika Mashariki.
Miongoni mwa wasanii walioshiriki ni Diamond Platnnumz, Alikiba, Harmonize, Sauti Sol na wengine.
Comments
Post a Comment