Huyu Ndio Mwamuzi wa Mechi ya Kwanza Fainali Yanga na USM Alger"

CONFIRMED: Mwamuzi Jean-Jacques Ngambo Ndala kutoka DR Congo 🇨🇩 ndiye atakayeamua dakika 90 za mechi ya kwanza ya fainali Kombe la Shirikisho Afrika kati ya YANGA na USM ALGER Mei 28 katika dimba la Mkapa saa 10:00 jioni.

Comments

Popular posts from this blog

Lavalava kujiunga na Aftermath Entertainment na kuondoka WCB

Kundi la Sauti Soul Kuvunjika

BAADA YA KUWA ‘MNYONGE SANA’ …PHIRI KUWA CHINI YA UANGALIZI MAALUMU SIMBA